Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Methali: “Mjinga akierevuka, mwerevu yupo mashakani.” 

Methali: “Mjinga akierevuka, mwerevu yupo mashakani.” 

Pakua

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali “Mjinga akierevuka, mwerevu yupo mashakani.”     

Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Sauti
58"
Photo Credit
Habari za UN