Methali: “Mjinga akierevuka, mwerevu yupo mashakani.”
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali “Mjinga akierevuka, mwerevu yupo mashakani.”
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Sauti
58"