Mbinu 3 za kuhakikisha watoto wanapata chanjo
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya watoto ulimwenguni UNICEF linatumia njia mbalimbali kuhakikisha watoto na familia zao wanapata chanjo stahili hili kuwaepusha kuugua magonjwa ambayo mengine yanaweza kuzuilika kwa kupata chango. Katika Makala hii Leah Mushi anatujuza mbinu tatu zinazotumiwa na UNICEF kuhakikisha jamii inapata chanjo.
Audio Credit
Selina Jerobon/Leah Mushi
Audio Duration
3'8"