Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wahudumu wa afya: Hali katika Hospital ya El-Najar Gaza iko nje ya uwezo wetu

Wahudumu wa afya: Hali katika Hospital ya El-Najar Gaza iko nje ya uwezo wetu

Pakua

Mashambulio makubwa ya mabomu, vizuizi vya kutembea, na mawasiliano yaliyovurugwa vinafanya iwe karibu kutowezekana kuwasilisha vifaa tiba mara kwa mara na kwa usalama kote Gaza, hasa kaskazini. Kupitia video iliyoratibiwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) huko Rafar, Anold Kayanda anasimulia.

Audio Credit
Anold Kayanda
Sauti
3'23"
Photo Credit
© UNICEF/Abed Zaqout