Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Methali: Mla mbegu huvuna vya wenyewe

Methali: Mla mbegu huvuna vya wenyewe

Pakua

Karibu kujifunza Kiswahili, mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “Mla mbegu huvuna vya wenyewe.”

Audio Credit
Dkt.Josephat Gitonga
Audio Duration
1'41"
Photo Credit
Habari za UN