28 DESEMBA 2023
Pakua
Hujambo na karibu kusikiliza jarida kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa ikiwa ni Alhamisi ya tarehe 28 ya mwezi Desemba takribani siku 4 panapo majaliwa kuumaliza mwaka huu wa 2023. Mimi ni ASSUMPTA MASSOI ninakukaribisha kusikiliza mkusanyiko wa matukio machache kati ya mengi yaliyojiri katika mwaka huu ambapo Umoja wa Mataifa ulikuwa na jukumu zito kuhakikisha pamoja na yote bado dunia inasalia kuwa mahali salama pa kuishi.
Audio Credit
ASSUMPTA MASSOI
Sauti
14'9"