Methali: Ukilima Pantosha utavuna pankwisha
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu leo ni Nicholus Makanji mhadhiri katika chuo Kikuu cha Zetech Limuru Kenya akitufafanulia maana ya methali, “Ukilima Pantosha utavuna pankwisha.” Karibu!
Audio Credit
Nicholus Makanji
Audio Duration
1'6"