METHALI: SHIMO LA ULIMI MKONO HAUFUTIKI
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali Jino la P Na leo katika kujifunza lugha ya kiswahili tunakuletea maana ya methali methali SHIMO LA ULIMI MKONO HAUFUTIKI, KARIBU!
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Sauti
1'20"