Methali: Umekuwa Jeta Hubanduki!
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili na hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali Umekuwa Jeta Hubanduki!
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Sauti
1'21"