Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Methali: "Ukubwa jalala"

Methali: "Ukubwa jalala"

Pakua

Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “Ukubwa ni jalala.”

Sauti
1'39"
Photo Credit
Habari za UN