Methali: "Mchakacho ujao haulengwi jiwe."
Pakua
Katika kujifunza lugha ya kiswahili Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Zanzibar, BAKIZA nchini Tanzania anachambua methali "Mchakacho ujao haulengwi jiwe."
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
59"