Jifunze kiswahili - Methali: "Mshale kwenda msituni haukupotea"
Pakua
Katika kujifunza Lugha ya Kiswahili leo mchambuzi wetu Dkt. Josephat Gitonga, kutoka Kenya ambaye ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi kwenye kitivo cha tafsiri na ukalimani anatufafanulia methali isemayo “Mshale kwenda msituni haukupotea.” Karibu!
Audio Credit
Dkt. Josephat Gitonga
Audio Duration
1'29"