Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Vijana wa Berberat nchini CAR wakabidhiwa mradi wa madarasa yatakayotumika kutoa elimu ya kompyuta na TEHAMA: TANZBATT 6

Vijana wa Berberat nchini CAR wakabidhiwa mradi wa madarasa yatakayotumika kutoa elimu ya kompyuta na TEHAMA: TANZBATT 6

Pakua

Mkuu wa kikosi cha 6 cha Walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania wanaohudumu chini ya MINUSCA, Luteni Kanali Amini Steven Mshana amefungua na kukabidhi madarasa yatakayotumika kutoa elimu ya kompyuta na TEHAMA kwa ujumla kwa vijana wa eneo la mji wa Berberat na viunga vyake ili kuwapa ujuzi wawe na mchango chanya kwa jamii yao badala ya kujiunga na makundi ya waasi.Kapteni Mwijage Francis Inyoma ni Afisa Habari wa TANZBATT 6 anaripoti.

Audio Credit
Selina Jerobon/Kapteni Mwijage Francis Inyoma
Audio Duration
2'44"
Photo Credit
©Education Cannot Wait