Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

31 DESEMBA 2020

31 DESEMBA 2020

Pakua

Katika Jarida la Umoja wa Mataifa hii leo Anold Kayanda anakuletea salamu za mwisho wa mwaka kutoka kwa wafanyakazi

-Wanazungumzia mambo mbalimbali ikiwemo malengo ya maendeleo endelevu SDGs

-Je mwaka 2020 umekuwaje?

-Nini changamoto kubwa iliyokabili kazi zao kwa mwaka 2020

-Mashinani washirika wetu na maripota wetu wanasemaje?

-Na nini msikilizaji, mtazamaji, na mfuatiliaji wa vipindi vya Umoja wa Mataifa atarajie mwaka 2021

 

Audio Credit
UN News/Anold Kayanda
Sauti
9'57"