Neno la Wiki: RIKISHA
Pakua
Hii leo katika Neno la Wiki, mchambuzi wetu Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno RIKISHA. Anasema kwamba watu wanalitumia wakimaanisha kile kitenzi cha kiingereza, "to leak" lakini kwa kiswahili lina maana tofauti. Je ni maana ipi hiyo? fuatana naye.
Audio Credit
Flora Nducha/ Onni Sigalla
Audio Duration
49"