UNICEF, Oliver Mtukudzi wapambana na unyanyapaa dhidi ya waathirika wa HIV Tanzania
Pakua
Unyanyapaa dhidi ya waaathirika wa ugonjwa wa ukimwi unatajwa kuwa tatizo kubwa katika jamii hususani barani Afrika. Katika kukabiliana nalo, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa kushirikiana na mwanamuziki mashuhuri barani humo Oliver Mtukudzi linafanay kampeni maalum ya kukomesha unyanyapaa kwa waathirika wa HIV.
Ungana na Joseph Msami katika Makala inayoangazaia kampeni hiyo nchini Tanzania