Ukiweka bidii na kuzingatia mwongozo hakuna linaloshindikana: Mary Keitany
Mashirika ya umoja wa Mataifa lile mazingira duniani UNEP na lile la afya WHO nchini Kenya ivi karibuni yalizindua kampeni ya kuhimiza umuhimu wa kuhakikisha mazingira safi kwa ajili ya afya bora. Kampeni hiyo maalum ilifanyika jijini Nairobi kwa kuwaalika wanaridha kadhaa wa Kenya wa zamani na wa sasa kwenye ofisi za Umoja wa mataifa.