Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahojiano

Uganda yazindua kampeni ya chanjo dhidi ya kipindupindu-WHO

Kila mwaka nchini Uganda hutokea wastan wa visa1,850 vya kipindupindu na takriban vifo 45. Hii ni kwa mujibu wa waziri wa Afya wa Uganda Dkt Jane Ruth Acieng alipozungumza wakati wauzinduzi wa kampeni hiyo.

Visa vingi hutokea sehemu za Mashariki, kaskazini na kaskzini maghari mwa Uganda. Zoezi hili linadhaminiwa na  shirika la kimataifa la muungano wa chanjo ,GAVI na dawa inayotumika ya matone ndio inatumika kwa mara ya kwanza nchini Uganda.

Sauti
2'41"