Kituo cha haki za binadamu Tanzania chalaumu kuvunjwa kwa haki za binadamu
Kituo cha sheria na haki za binadamu nchini Tanzania leo kimetangaza ripoti yake ya awali inayoangazia mwenendo wa haki za kibinadamu kwa nchi hii katika kipindi cha miezi sita iliyopita na kutaja kasoro kadhaa ikiwemo kushamiri kwa matukio ya ubakaji unawandama hasa wanawake na watoto wa shule pamoja na vyombo vya dola kuangukia kwenye lawama ya utumizi mabaya wa madaraka.
(SAUTI YA GEORGE NJOGOPA)