Elimu kwa watoto wakimbizi bado ni ndoto kwa mujibu wa ripoti ya UNHCR
Zaidi ya nusu ya watoto wakimbizi milioni 7.1 wa umri wa kwenda shule hawaendi shule, ripoti ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR iliyotolewa leo imebainisha. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.