Kweli nyumbani ni nyumbani: UNHCR
Wahenga walinena msahau kwao mtumwa, na nyumbani ni nyumbani hata iweje. Kauli hiyo si msemo tena bali ni hali halisi kwa maelfu ya wakimbizi wa Kisomali walioamua kuchukua hatua ya kurejea nyumbani baada ya kuishi kwa miaka mingi kwenye makambi ya wakimbizi ya Dadaab na Kakuma nchini Kenya. Flora Nducha na taarifa kamili.
Natts……