Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

22 Januari 2020

Hii leo tunaanza na kauli ya Katibu Mkuu wa  Umoja wa Mataifa kuhusu changamoto 4 na suluhu 4 kwa ajili ya kuhakikisha mafanikio ya karne ya 21 hayafutiliwi mbali kisha tunakwenda Kigoma kumulika jinsi miradi ya Umoja wa Mataifa kwenye kilimo inavyoendelea kufuta kilimo cha "tangulia nakuja"

Sauti
13'34"

21 JANUARI 2020

Shirika la Umoja wa Mataifa la kutokomeza Ukimwi, UNAIDS limesema afya bora si haki ya matajiri pekee, bali kila mtu. Jukwaa la kidijitali kukusanya takwimu kuhusu njaa na mzozo duniani lazinduliwa. Mkuu wa masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura wa Umoja wa Mataifa Mark Lowcock ame

Audio Duration
9'54"