21 JANUARI 2020
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la kutokomeza Ukimwi, UNAIDS limesema afya bora si haki ya matajiri pekee, bali kila mtu. Jukwaa la kidijitali kukusanya takwimu kuhusu njaa na mzozo duniani lazinduliwa. Mkuu wa masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura wa Umoja wa Mataifa Mark Lowcock amesema Umoja wa Mataifa utafanya kila uwezalo kuwasaidia wakimbizi Za’atari.
Audio Credit
Asumpta Massoi
Audio Duration
9'54"