Guterres asihi uchaguzi uwe wa amani CAR baada ya walinda amani kutoka Burundi kuuawa
Katika mkesha wa uchaguzi mkuu nchini Jamhuri ya Agfrika ya Kati CAR, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito kwa wadau wote kuhakikisha uchaguzi wa kesho Jumapili unafanyika kwa njia ya amani, uwe jumuishina wa kuaminika.