Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Wanaharakati wanawake nchini Sudan wanaowezeshwa na UNFPA nchini humo wakizungumza na wanawake kuhusu hatari za ukeketaji wa wanawake na wasichana
© UNFPA Sudan

Wanajamii Sudan waitikia wito wa UNFPA wa kuondokana na FGM

Jumuiya ya Zahraa, iliyoko nchini Sudan imeunga mkono harakati za shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ya Uzazi na Idadi ya Watu duniani, UNFPA kuhakikisha ukeketaji wa wanawake na wasichana, FGM, umetokomezwa. Hii inatokana na kwamba wazazi katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum wanaelimishwa na wanachama wa mtandao wa ulinzi wa jamii kuhusu madhara ya FGM.