Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF na Equal Access International, wabuni mbinu za kukabiliana na changamoto katika jamii

UNICEF na Equal Access International, wabuni mbinu za kukabiliana na changamoto katika jamii

Pakua

Janga la tabianchi limesababisha kupotea kwa upatikanaji wa elimu, huduma muhimu, na ajira kwa vijana nchini Kenya. Hata hivyo Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa kushirikiana na Equal Access International wamewawezesha vijana kuchukua hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi na kutoa ufahamu kuhusu suluhisho la kukabiliana na tatizo hilo. Evarist Mapesa wa idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa anatufafanulia zaidi katika Makala hii.

Audio Credit
Leah Mushi/Evarist Mapesa
Sauti
3'37"
Photo Credit
UNICEF