Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nyasi vamizi zageuka fursa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi nchini Uganda

Nyasi vamizi zageuka fursa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi nchini Uganda

Pakua

Mabadiliko ya tabianchi yanazidi kusababisha wasiwasi miongoni mwa jamii za wafugaji Afrika na kwingineko ulimwenguni hasa kutokana ukame wa muda mrefu. Hata hivyo, nchini Uganda hatua zinachukuliwa ambapo wameanza kubaini nyasi zinazoweza kuhiili mabadiliko haya ya tabianchi na hatimaye kuzihamishia katika maeneo mbalimbali ya nchi ili ziwasaidie badala ya kutegemea malisho asilia katika eneo fulani.

Mmoja wa wale ambao wamevalia suala hilo njuga ni Mbunge wa Kaunti ya Butemba wilaya ya Kyankwanzi Innocent Pentagon Kamusiime ambaye amepanda nyasi aina ya  Kikuyu.

Hii hapa maelezo zaidi na John Kibego katika makala yake baada ya kutembeela mifugo yake.

Audio Credit
Grace Kaneiya/ John Kibego
Audio Duration
3'42"
Photo Credit
UN News/ John Kibego