Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la wiki : Mtagusano

Neno la wiki : Mtagusano

Pakua

Katika neno la wiki hii leo tunaangazia neno “Mtagusano” Mchambuzi wetu  ni Nuhu Zuberi Bakari, ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa masuala ya mawasiliano kwenye Chama cha  Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA.

Nuhu anasema neno Mtagusano ni ushirikiano wa watu wawili au zaidi katika kujadili jambo fulani au katika kitendo chochote, watu hawa wakiwa na hoja za kufanana au mawazo ya kulingana.

Photo Credit
Neno la wiki_MTAGUSANO