Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

04 JANUARI 2023

Hii leo jaridani tunaangazia haki za wafungwa, na kazi za walinda amani nchini CAR.  Makala tutaelekea nchini Guatemala na mashinani leo tunarejea makao makuu ya umoja wa Mataifa ambapo utapata kauli ya Rais wa Baraza la Usalama kwa mwezi huu wa Januari kuhusu Syria.

Audio Duration
10'29"