Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

28 Februari 2022

28 Februari 2022

Pakua

karibu kusikiliza jarida na kama ilivyo ada kila Jumatatu tunakuletea mada kwa kina, mahojiano maalumu na mmoja wa waliokuwa ngariba nchini Tanzania lakini sasa ameacha shughuli hiyo ya ukeketaji baada ya kuelimika.

Pia Flora Nducha atakuletea habari kwa ufupi kubwa likiwa ni mapigano nchini Ukraine na namna Umoja wa Mataifa unavyoshughulikia.

 

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
14'53"