Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

TANZBATT 8 tutaendelea kuendeleza uhuasiano mzuri na wananchi wa CAR

TANZBATT 8 tutaendelea kuendeleza uhuasiano mzuri na wananchi wa CAR

Pakua

Kikosi cha 5 cha ulinzi wa amani kutoka Tanzania, TANBATT 5  kinachohudumu katika mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, MINUSCA,  kimeyatumia maadhimisho ya wiki ya elimu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati kuendelea kujenga uhusiano mwema na jamii. Meja Asia Hussein ni Afisa Habari wa kikosi hicho na hii ni taarifa yake.

Taarifa ya Meja Asia Hussein

Audio Credit
Leah Mushi / Meja Asia Hussein
Audio Duration
2'15"
Photo Credit
MINUSCA/Hervé Serefio