Umuhimu wa miji ni dhahiri-Guterres
Pakua
Katika kuelekea siku ya miji duniani hapo kesho Oktoba 31, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres kupitia ujumbe maalum wa siku hiyo amesema miji imebeba gharama kubwa ya janga la corona au coronavirus">COVID-19 lakini jamii katika miji hiyo zimedhihirisha thamani yake katika kukabiliana nalo na kuongeza kuwa
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
2'10"