Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Raia wa CAR wasema mafunzo ya ufundi ya MINUSCA yamewakomboa

Raia wa CAR wasema mafunzo ya ufundi ya MINUSCA yamewakomboa

Pakua

Mafunzo ya ufundi yaliyoanzishwa na Baraza la mashauriano na ubunifu mjini Bangui nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR kwa kushirikiana na mpango wa Umoja wa Mataifa nchini humo MINUSCA yameleta neema kwa raia wa nchi hiyo. 

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
2'1"
Photo Credit
UNDP DRC