Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maisha ya kambini ni magumu ila tunapambana : Johari Nanangu

Maisha ya kambini ni magumu ila tunapambana : Johari Nanangu

Pakua

Migogoro ya kivita katika nchi za  maziwa makuu, zina aathiri maisha ya mamilioni ya raia wasio na hatia, ambapo wengi wao ni wanawanke na watoto.

Nchini Burundi mwandishi wetu wa maziwa makuu, Ramadhani kibuga alitembelea kambi wa wakimizi  ya kavumu, ambako  amezungumza na mwanamke jasiri ambaye, licha ya matatizo ya kila siku ya kambini  bado anafanya shughuli za ujasiriamali ili kujikwamua kimaisha.

Biashara gani anafanya na je anafaidika vip? Ungana na Kibuga   katika makala hii upate undani zaidi.

Audio Duration
3'50"
Photo Credit
KNCCI inasaidia wafanya biashara wanawake ikiwemo wachuuzi wa vyakula.(Picha:UM/Tobin Jones)