Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Elimu ndio mkombozi wa msichana wa kimasai

Elimu ndio mkombozi wa msichana wa kimasai

Pakua

Ukosefu wa usawa kati ya maeneo ya mijini na vijijini ni kikwazo kwa maendeleo ya jamii. Na tofauti hiyo inazidi zaidi pindi jamii hiyo ina wanawake ambao kwao mahitaji yao yanapuuzwa licha ya kwamba wana mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii zao. Kutoka Arusha Tanzania, Assumpta Massoi amezungumza na Maria Mamasita mshiriki wa mkutano wa 62 wa kamisheni ya hali ya wanawake duniani, CSW62 ulioanza tarehe 12 mwezi huu wa Machi, mada kuu ikiangazia kumwendeleza mwanamke wa kijijini. Je wao wanafanya nini?

Audio Credit
Assumpta Massoi na Maria Mamasita
Sauti
2'8"
Photo Credit
UN News/Assumpta Massoi