Madhila wanayokumabana nayo watu wenye ulemavu katika kampeni dhidi ya Ebola
Pakua
Watu wenye ulemavu wanoishi katika jamii zisizo na mazingira mujarabu kwa kundi hilo, hukumbana na madhila kadhaa. Watu hao wenye ulemavu hupata wakati mgumu zaidi pale kunapokuwa na hali za dharura mathalani ugonjwa wa homa kali ya Ebola.Ugonjwa huu ambao ulizitikisa nchi za Afrika Magharibi ikiwamo Sierra Leone unatajwa kutokomea kwa sasa kutokana na idadi ndogo ya visa. Lakini ni kwa namna gani watu wenye uleamvu wanahusishwa katika kampeni dhidi ya Ebola? Ungana na Joseph Msami katika makala ifuatayo.