Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR kuimarisha ustawi wa wakimbizi nchini Uganda

UNHCR kuimarisha ustawi wa wakimbizi nchini Uganda

Pakua

Wakati nchi ya Uganda ikiwa ni miongoni mwa nchi ambazo zinaubeba mzigo wa kuhifadhi wakimbizi barani Afrika  Naibu Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) amefanya ziara nchini humo ili kutathmini hali halisi ya wakimbizi kambini na kubaini mbinu za kuimarisha vipato vyao kupitia miradi mbali mbali . Basi ungana na John Kibego wa Radio washirika ya Spice fm nchini humo.

Photo Credit
Mkuu wa Ofisi ya UNHCR ya Hoima Alice Litunya akimweleza hali kambini Bwana Alexander Aleinikiff.(Picha ya UM/Idhaa ya kiswahili/John Kibego)