Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kila mmoja anajukumu la kumlinda mwenzie na ukimwi

Kila mmoja anajukumu la kumlinda mwenzie na ukimwi

Pakua

Katika siku ya ukimwi duniani wito umetolewa kwa kila mtu kubeba jukumu la kujilinda na kuwalinda wengine na maambukizi mapya ya ukimwi.

kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO na lile la kupambana na ukimwi UNAIDS kila mtu katika jamii zote duniani ana fursa ya kuchangia kuhakikisha kuna maambukizi mapya sufuri, unyanyapaa sufuri na vifo vitokanavyo na ukimwi sufuri.

Wanaanchi hawa wa Afrika wana maoni gani kuhusu siku hii? wasikilize

(MAONI KUHUSU SIKU YA UKIMWI)