Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

03 AGOSTI 2023

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina na tunakupeleka nchini DRC ambako MONUSCO, ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC uko kwenye mchakato wa kuondoka nchini humo na kukabidhi jukumu la ulinzi na usalama kwa serikali.

Sauti
11'24"
UNMISS/Gregório Cunha

Nicholas Haysom: Hatua inahitajika sasa kwa ajili ya uchaguzi kwa wakati na wa huru na haki nchini Sudan Kusini

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS), Nicholas Haysom ametahadharisha kwamba muda unazidi kuyoyoma kuelekea Sudan Kusini kufanya uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi Desemba mwaka ujao wa 2024 lakini bado ma

Sauti
2'18"

01 AGOSTI 2023

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambapo mradi wa serikali ya DRC na UN Women wajengea uwezo wajasiriamali Goma. Pia tunakuletea habari kwa ufupi kutoka IFAD, FAO, WHO na UNICEF ikiwa ni pamoja na Tamko la Haki za binadamu. Mashinani tunakupeleka nchini Sudan, kulikoni? 

Sauti
12'17"