HABARI ZA UN 20 JUNI 2023
Ikiwa leo ni Siku ya Wakimbizi Duniani tutawasikia wakimbizi wa ndani DRC wanavyozungumzia harakati za Umoja wa Mataifa katika kutekeleza Kauli mbiu ya mwaka huu:"Matumaini Mbali na Nyumbani.".
Ikiwa leo ni Siku ya Wakimbizi Duniani tutawasikia wakimbizi wa ndani DRC wanavyozungumzia harakati za Umoja wa Mataifa katika kutekeleza Kauli mbiu ya mwaka huu:"Matumaini Mbali na Nyumbani.".
Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO, limetahadharisha kuwa viwavijeshi ambavyo vimeripotiwa kuonekana kwenye mbuga na hifadhi za wanyama nchini Kenya vimerejea.Wadudu hao pia wameonekana kwenye mataifaJirani ya Eritrea, Sudan Kusini,Ethiopia, Somalia na Uganda. Ifahamike kuw
Hapo jana juni 18 dunia iliadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga kauli za chuki ambapo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani kumefanyika maonesha ya athari ziletwazo na kauli za chuki.
Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili wa kingono katika mizozo ya vita Umoja wa Mataifa umesenma jinamizi hilo ni janga lililokita mizizi katika kukosekana kwa usawa na kanuni na tamaduni kali za masuala ya kijinsia. Tupate maelezo Zaidi kutoka kwa Flora Nducha
Leo jarida la Umoja wa Mataifa linaangazia siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili wa kingono katika mizozo ya vita, Umoja wa Mataifa umesema jinamizi hilo ni janga lililokita mizizi katika kukosekana kwa usawa, kanuni na tamaduni kali za masuala ya kijinsia.
Shirika la Umoja wa Mataifa la hali ya hewa duniani WMO kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupunguza hatari za majanga UNDRR wiki hii wamezindua mradi mpya wa kuimarisha mifumo ya tahadhari ya mapema ya kikanda.
Hii leo jaridani tunaangazia manufaa ya utumaji pesa kutoka nchi moja kwenda nyingine, na uwezeshaji wa wavuvi nchini Sudan Kusini. Makala tunakupeleka nchini Rwanda na mashinani nchini Colombia, kulikoni?
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Utumaji fedha kwa familia ambapo maadhimisho ya mwaka huu yanaangazia manufaa ambayo ujumuishaji wa kidijitali na kifedha unapohusishwa na utumaji pesa kutoka nchi moja kwenda nyingine, huzisaidia familia zinazopokea fedha kufikia Malengo yao ya Maendeleo Endelevu
Mkuu wa Mpango wa umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini UNMISS ambaye pia ni mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini humo Nicholas Haysom amefanya ziara maalum ya kutembelea visiwa vilivyopo katika kaunti ya Terekeka na kujionea utekelezaji wa miradi ya stadi za maish
Leo katika kujifunza lugha ya Kiswahili tunafafanuliwa maana ya neno "KUYEYESA" na mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA, karibu!