Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

© UNICEF/Malumbo Simwaka

Waliyokosa kusoma wanafunzi wakati shule zimefungwa sababu ya Corona wanaweza wasiyapate

Kufunguliwa kwa shule na vyuo vya elimu baada ya kufungwa mwaka jana kutokana na janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 kumeacha baadhi ya wanafunzi katika njiapanda kwa sababu kile walichopoteza wakati shule zimefungwa , bado hakuna jitihada za kutosha kuhakikisha wanakipata ili kuepusha kukosa

Sauti
2'28"

Julai 13, 2021

Hii leo utasikia ripoti ya mashirika ya Umoja wa Mataifa inayoeleza kufunguliwa kwa shule na vyuo vya elimu baada ya kufungwa mwaka jana kutokana na janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 kumeacha baadhi ya wanafunzi katika njiapanda kwa sababu kile walichopoteza wakati shule zimefungwa , ba

Sauti
14'57"

Julai 09, 2021

Katika Jarida hii leo utasikia kuhusu muongo mmoja tangu Sudan kusini ipate uhuru wake, Upigaji kura ili kuruhusu misaada ya kibinadamu iendelee kupitishwa nakupelekwa Syria pamoja na wito wa Katibu Mkuu wa UN Antonio Guterres kwa mawaziri wa Fedha na magavana wa G20 kuhusu usambazaji na uzalisha

Sauti
10'38"