Aliyesomea umeme hakuamini alivyoingia katika ufugaji kuku
Nchini Tunisia, mfuko wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo ya kilimo duniani, IFAD umeleta nuru kwa wahitimu wa Vyuo Vikuu nchini humo ambao baada ya kuhitimu wameshindwa kupata ajira na sasa wamejiajiri wenyewe upitia miradi ya ikiwemo ya ufugaji kuku. Anold Kayanda na taarifa zaidi.