Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

© UNICEF/Ashley Gilbertson

WESP: Juhudi za kujikwamua na COVID-19 zakumbana na kigingi, huku wagonjwa wakiongezeka

Juhudi za kimataifa za kujikwamua kiuchumi na janga la corona au COVID-19 ziko katika tishio kubwa, huku idadi ya wagonjwa ikiendelea kuongezeka na utoaji wa chano katika nchi masikini ukidemadema na pengo la usawa likitumbukiza nyongo matarajio ya ukuaji wa uchumi kwa silimia 5.4 mwaka huu wa 20

Sauti
2'30"

10 Mei 2021

Kupitia mada kwa kina ya Jarida la Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, Leah Mushi anachambua faida za ndege wahamao, ambao huadhimishwa kila Jumamosi ya tarehe 8 Mei ikiwa ni njia mojawapo ya kutambua faida zao katika maisha ya binadamu na sayari dunia. 

Sauti
11'41"