Mkimbizi Marie-Reine: Programu ya rafiki imenipa ujasiri niliohitaji kuanza maisha mapya Ubelgiji
Kutana na mkimbizi Marie-Reine kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, ambaye sasa amepata hifadhi na anaishi Namur nchini Ubeligiji.
Kutana na mkimbizi Marie-Reine kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, ambaye sasa amepata hifadhi na anaishi Namur nchini Ubeligiji.
Machafuko na utekaji nyara unaofanywa na vikundi vya watu wenye silaha umewafanya baadhi ya wananchi kuyakimbia makazi yao na kuishi msituni ili kunusuru maisha yao nchini Sudan Kusini.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, limesema lina wasiwasi mkubwa na taarifa zinazoendelea za watu wanaokimbia jimboni Cabo Delgado nchini Msumbiji kurudishwa kwa nguvu baada ya kuvuka kwenda katika nchi jirani ya Tanzania. Anold Kayanda na maelezo zaidi.
UNHCR yaomba raia wa Msumbiji wanaokimbia vurugu wapewe hifadhi nchini Tanzania.
Bado tunawasaka wanakijiji waliokimbilia msituni baada ya kuvamiwa Bahr Ole Payam, imesema UNMISS.
Mabadiliko ya Tabia nchi yameleta athari kote ulimwenguni, miongoni mwa changamoto zilizoletwa na adha hiyo ni pamoja na ukosefu wa mvua hali inayopelekea kuwepo na uhaba wa chakula na mahali pengine mvua kubwa zinazosababisha mafuriko na mazao kushindwa kustawi kabisa.
Hii leo katika kujifunza lugha ya kiswahili, Josephat Gitonga, mhadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya anafafanua maana ya methali, Ibilisi wa mtu ni mtu. Karibu!
Jaridani leo na Flora Nducha anakuletea Habari kwa ufupi, Mada kwa kina ikimulika hali ya watoto nchini India ambako kunashuhudiwa sintofahamu kufuatia awamu ya pili ya COVID-19 na katika kujifunza kiswahili inachambuliwa methali, "ibilisi wa mtu ni mtu".
Mradi wa UN Women wa kuimarisha ulinzi wa haki za ardhi za wanawake umeleta matumaini makubwa ya kupiga jeki juhudi za serikali kupambana na vikwazo vya kimila vinavyowakera wanawake nchini Uganda.
Guatemala ni taifa linaloshika nafasi ya 4 kwa kuwa na viwango vya juu vya utapiamlo duniani, lakini sasa kwa msaada wa mashirika ya Umoja wa Mataifa lime la mpango wa chakula duniani WFP, la chakula na kilimo FAO na mfuko wa kimataifa wa maendeleo ya kilimo IFAD changamoto hiyo inadhibitiwa kwa
Ikiwa leo ni siku ya wauguzi duniani, shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO linasema, licha ya jukumu muhimu wanalofanya wauguzi katika huduma ya afya, kuna uhaba wa wafanyakazi hao ulimwenguni, uhaba ambao unatarajiwa kuongezeka kadiri idadi ya watu inavyoongezeka.