Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

17 Mei 2021

Mabadiliko ya Tabia nchi yameleta athari kote ulimwenguni, miongoni mwa changamoto zilizoletwa na adha hiyo ni pamoja na ukosefu wa mvua hali inayopelekea kuwepo na uhaba wa chakula na mahali pengine mvua kubwa zinazosababisha mafuriko na mazao kushindwa kustawi kabisa.

Sauti
10'18"