Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

23 MACHI 2021

Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Grace Kaneiya anakuletea

-Watu 670,000 wamelazimika kuzikimbia nyumba zao hadi sasa huko Cabo Delgado Msumbiji kufuatia kuendelea kwa mashambulizi dhidi ya raia limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.

Sauti
13'54"