Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

18 Januari 2021

Hii leo Jumatatu ni mada kwa kina tunapiga kambi Beni jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC ambako walinda amani kutoka Tanzania wanaohudumu kwenye ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo MONUSCO wanafundisha wakazi masuala ya TEHAMA, yaani teknolojia

Sauti
11'54"