30 JANUARI 2020
Jaridani Januari 30, 2020 na Flora Nducha, pata habari ikiwemo Shirika la mpango wa chakula duniani limesema uwepo wa ufadhili wa kuaminika utarahisisha uwasilishaji wa misaada.
Jaridani Januari 30, 2020 na Flora Nducha, pata habari ikiwemo Shirika la mpango wa chakula duniani limesema uwepo wa ufadhili wa kuaminika utarahisisha uwasilishaji wa misaada.
Moja ya azma ya jumla ya kufanikisha Malengo ya Maendeleo Endelevu yaani SDGs ni kuhakikisha hakuna anayebaki nyuma bila kujali hali yake katika jamii.
Kutana na Jean Rabe amekuwa muwindani wa asili wa wanyamapori kwa maisha yake yote lakini sasa baada ya kutambua umuhimu wa kulinda bayoanuai na mazingira ameamua kuwa mmoja wa wanamazingira na wahifadhi wa wanyamapori.
Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO, leo limeonya kwamba kuna tishio kubwa la kutokuwa na uhakika wa chakula na maisha kwenye pembe ya Afrika kutokana na mlipuko wa nzige na mazalia mapya ya wadudu hao hatari.
Vifo milioni 9 vinaweza kuzuilika kwa kuimarisha juhudi za kukabiliana na homa ya kichomi miongoni mwa watoto, na magonjwa mengine kwa mujibu wa ripoti ya utafiti iliotolewa leo wakati wa kuanza kwa kongamano la kwanza kuhusu homa ya kichomi miongoni mwa watoto mjini Barcelona nch
Jaridani Jumatano Januari 29, 2020 Flora Nducha anakuletea habari kuanzia homa ya kichomi hadi muwindaji huko Madagascar, makala na mashinani.
Kwa miaka mingi, wanawake walikuwa wakiachwa nyuma katika maendeleo na hata maswala ya kijamii ikichochewa na utamaduni na mitazamo dume kwenye jamii.
Machafuko yanayoendelea El Geneina kwenye jimbo la Darfur Magharibi yamewalazimisha watu Zaidi ya 11,000 kukimbilia nchi jirani ya Chad kama wakimbizi limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.
Karibu watoto milioni 5 watahitaji msaada wa kibinadamu mwaka huu Sahel ya Kati kutokana na machafuko yanayoendelea limeonya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF likisema idadoi hiyo ni ongezeko kubwa kutoka milioni 4.3.
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kuisni, UNMISS kwa kushirikiana na mamlaka nchini humo katika juhudi za pamoja wamezindua kampeni ya kuchagiza amani wakilenga wamiliki wa mifugo waliojihami katika kambi katika baadhi ya maeneo.