Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kabrasha la Sauti

UN News Kiswahili

Neno la Wiki - Ulaiti

Katika Neno la Wiki hii leo tunamulika neno Ulaiti na mchambuzi wetu ni Onni Sigalla Mhariri Mwandamizi kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Na katika uchambuzi wake anasema neno hili linamaanisha aina fulani ya kitambaa. Fuatana naye kufahamu zaidi.

Sauti
59"