Israel sitisha mipango ya ujenzi Yerusalem mashariki- Mladenov
Mratibu maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu mchakato wa amani mashariki ya kati, Nickolay Mladenov ameitaka Israel kuachana na mipango yake ya ujenzi wa makazi mapya kwenye eneo inalokalia la Palestina.