Nchi zinazobeba wakimbizi zinahitaji kusaidiwa:Rodriguez
Nchi zinazopokea na kuhifadhi wakimbizi zinahitaji kusaidiwa kimataifa kwa manufaa ya wakimbizi lakini pia wenyeji wanaowapokea. Hayo yamesemwa na mratibu mkazi wa Umoja wa Mataifa mjini Dar es salaam nchini Tanzania Alvaro Rodriguez.
(SAUTI RODRIGUEZ)