Sina uhakika bado na tarehe ya mazungumzo Syria- de Misturra
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa leo limekuwa na kikao kuhusu hali ya Mashariki ya Kati likijikita zaidi suala la Syria ambapo limepokea taarifa ya kila mwezi ya mjumbe maalum wa Katibu Mkuu kuhusu nchi hiyo, Staffan de Misturra.